AJIRA PORTAL LOGIN,REGISTER, NA ANZA MAOMBI

Rojamilaonline.com

AJIRA PORTAL LOGIN,REGISTER, NA ANZA MAOMBI



                              AJIRA PORTAL LOGIN,REGISTER, NA ANZA MAOMBI


Waombaji wa fursa za Ajira mnatakiwa kuhuisha (Update) taarifa zenu kwa kutumia namba ya utambulisho wa Taifa (NIN), kwenye eneo ya Personal Details, aidha mnatakiwa kuhuisha taarifa kwenye eneo la  Academic Qualification kwa kuweka kozi yako kwenye Category husika.

Ili kuona ‘STATUS’ ya maombi yako ya kazi, ingia sehemu ya ‘MY APPLICATION’ baada ya ku-‘login’ katika akaunti yako. Sehemu hii itakuwezesha kuona namba ya usaili kwa wale waliofanikiwa na sababu ya kutokuitwa kwa wale ambao hawajafanikiwa. 

 jisajira na ajira portal hapa

REGISTER

LOGIN HAPA

DOWNLOAD  MWONGOZO MPYA WA KUOMBA AJIRA KUPITIA AJIRA PORTAL

Post a Comment

0 Comments